Saturday, October 8, 2016

Mazoezi ya viungo Dar yashika kasi chini ya Vodacom

Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,wakishiriki katika mazoezi ya viungo yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,Wakifanya mazoezi katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.


Baadhi ya wakazi wa jiji la Dar es Salaam,wakishiriki katika mazoezi ya viungo yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania,Wakifanya mazoezi katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.


Msanii chipukizi wa mziki wa singeli, Yohana Mruta akiimba baada ya mazoezi ya viungo kuisha yaliyoandaliwa na EFM radio na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika kiwanja cha Magunia Msasani jijini Dar es Salaam.


No comments: