Mkuu wa wilaya ya Mtwara, Fatma Ally akipokea cheti kutoka kwa mkuu wa mkoa wa Mtwara Halima Dendego, cha kutambua mchango wake katika kufanikisha michuano ya Sports Time Ndondo Cup. |
Wakazi wa Mtwara |
Naf Band ikiongozwa na mwimbaji wao mashuuri, Wakuziba (wakwanza kushoto) ikitumbuiza katika fainali ya Pride Fm Sports Time Ndondo Cup. |
Waandishi wa habari nao hawakuwa nyuma kufuatilia burudani |
Mwanadada kutoka Naliendele akionesha ujuzi wa kusakata rumba |
Wachezaji wa Nice Pesa na Nali Stars wakichuana uwanjani. |
Mwanadada wa Naliendele akiyarudi hapo mbele ya mwimbaji wa Naf Band, Wakuziba. |
Mwakilishi wa timu ya Coco Beach, Mzarubu akipokea cheti cha ushiriki. |
Zawadi kwa mwamuzi bora |
Zawadi kwa kocha bora |
Zawadi kwa timu yenye nidhamu |
Miongoni mwa waliofanikisha michuano hiyo Jerry Michael, akipokea zawadi kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Mtwara Fatma Ally. |
Mwenyekiti wa kamati ya mashindano, Baraka Jamali akipokea zawadi yake kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Mtwara, Fatma Ally. |
Mkuu wa wilaya ya Mtwara Fatma Ally akionesha cheti chake. |
No comments:
Post a Comment