Monday, October 17, 2016

John Bocco ajinyakulia Mil. 1 kutoka Vodacom, mchezaji bora wa mwezi

Mshambuliaji wa timu ya Azam FC,John Bocco(kushoto)akipokea hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/- Kwa kuwa mchezaji bora wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Mwezi August,toka kwa Mkuu wa kitengo cha Uhuasiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(kulia)kabla ya mchezo kuanza  wa timu yake na Yanga hapo jana katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa bodi ya ligi,Boniface Wambura.


Mshambuliaji wa timu ya Azam FC,John Bocco(kushoto)akipokea hundi yenye thamani ya shilingi Milioni 1/- Kwa kuwa mchezaji bora wa Ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara Mwezi August,toka kwa Mkuu wa kitengo cha Uhuasiano na Mawasiliano wa Vodacom Tanzania,Jacquiline Materu(kulia)kabla ya mchezo kuanza  wa timu yake na Yanga hapo jana katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.Katikati ni Mkurugenzi wa bodi ya ligi,Boniface Wambura.


No comments: