Thursday, October 22, 2015

Pichaz-Ndanda Fc Vs Azam Fc..Nangwanda Sijaona, Mtwara

Baadhi ya wachezaji wa Azam Fc wakipasha misuli katika uwanja wa Nangwanda Sijaona, muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya wenyeji wao Ndanda Fc.


Baadhi ya wachezaji wa Ndanda Fc wakipasha misuli katika uwanja wa Nangwanda Sijaona, muda mfupi kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya Azam Fc.


Ndanda Fc


Azam Fc


Azam Fc





Nusu saa kabla ya kuanza kwa mchezo wa Ndanda Fc na Azam Fc, katika uwanja wa Nangwanda Sijaona Mtwara, hivi ndivyo ilivyokuwa katika jukwaa kuu


Jukwaa kuu, Nangwanda Sijaona


No comments: