Sunday, July 29, 2012

PATI LA UBINGWA WA YANGA LILIVYOFANA TAIFA USIKU HUU

 


MABINGWA; Yanga na mwali wao

NAHODHA ALIKUWEPO; Nahodha wa Yanga, ambaye hakucheza mashindano haya alikuwepo kwenye sherehe za ubingwa

MWANZO MZURI; Beki mpya wa Yanga, Kevin Yondan kwa raha zake

Wachezaji wa Azam baada ya mechi

Seif Magari wa kwanza kushoto nyuma akiwa na wachezaji wa Yanga na Azam

Mrisho Ngassa kulia na Haruna Niyonzima kushoto

Mwenyekiti wa Yanga, Yussuf Manji akisalimiana na Ngassa baada ya mechi

FOOTBALL; Juma Seif 'Kijiko' akiwa na Said Mourad 'Mweda' kushoto baada ya mechi

AZAM DAMU; Mrisho Ngassa akiwa amenyoa mnyoo wa jina la klabu yake

NITAFIA AZAM; Ngassa akidhihirisha mapenzi yake kwa Azam

PATI LA UBINGWA; Wachezaji wa Yanga, mbele na kipa aliyefanya kazi kubwa katika mechi mbili, Nusu Fainali na Fainali, Ally Mustafa 'Barthez'

MUITE PIRLO; Athumani Iddi 'Chuji' sasa mashabiki wa Yanga wanamuita Pirlo

BAO LA PILI; Wachezaji wa Yanga wakiwa wamemlalia Said Bahanuzi 'Spider Man' baada ya kufunga la pili


Bahanuzi akichuana na Aggrey Morris

David Luhende akimpongeza Kiiza baada ya kufunga bao la kwanza

BAO LA KWANZA

BAO LA KUMALIZA KAZI; Wachezaji wa Yanga wakimpongeza Bahanuzi baada ya kufunga la pili

Kiiza akiserebuka na Niyonzima kushoto...nyuma yao ni Bahanuzi

Nitonzima

Rashid Gumbo kulia na Erasto Nyoni kushoto

PATI LA UBINGWA; Wachezaji wa Yanga na mwali wao

MAFUNDI WATUPU BENCHI; Wachezaji wa akiba wa Azam

GWARIDE; Mgeni rasmi, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meckysadick akiwa na timu kabla ya mechi

Meckysadick akisalimiana na kipa wa Azam, Deo Munishi 'Dida'

Meckysadick akisalimiana na beki wa Yanga, Oscar Joshua
Barthez akiongoza msafara wa Yanga kuingia uwanjani
RAFIKI WA KENYA; Nikiwa na rafiki wangu, mwandishi wa tovuto ya Michezo Afrika, Timoth Olobulu kutoka Kenya


Yanga kwa raha zao; asante wadhamini Azam Cola

Nikiwa na kocha wa Yanga, Mtakatifu Tom na Kombe la Kagame

FAMILIA ILIKUJA KUMUANGALIA BABA KAZINI; Niyonzima akiwa na mkewe na mwanawe na Kombe

Nahodha wa Azam, Aggrey Morris akiteta na Lina Mhando baada ya kupokera Medali yake ya Fedha

Wachezaji wa Azam baadaya kupokea Medali zao, mbele ni Jabir Aziz na nyuma yake ni Kipre Tcheche

SPIDER MAN; Mfungaji bora wa Kagame 2012, Said Bahanuzi baada ya mechik akiwa na jezi ya Azam aliyovuliwa na Gaudence Mwaikimba

No comments: