Klabu ya Coastal Union jana imetangaza rasmi usajili wa
kiungo wa kimataifa wa Kenya Jerry Santo, ambaye msimu wa 2010-2011 alikuwa
mmoja ya viungo bora wa klabu bingwa ya soka ya Tanzania klabu ya
Simba.
Santo ambaye aliondoka Simba kwa madhumuni ya kwenda kucheza soka nchini Albania kabla ya mambo kumuendea sivyo na kurudi Tusker ya Kenya. Amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake jijini Tanga.
Kwa mujibu wa ukurasa rasmi wa facebook wa klabu ya Coastal mchezaji huyo anakuwa wa mwisho katika usajili wa mwaka huu.
Santo ambaye aliondoka Simba kwa madhumuni ya kwenda kucheza soka nchini Albania kabla ya mambo kumuendea sivyo na kurudi Tusker ya Kenya. Amesaini mkataba wa miaka miwili kuitumikia klabu hiyo yenye maskani yake jijini Tanga.
Kwa mujibu wa ukurasa rasmi wa facebook wa klabu ya Coastal mchezaji huyo anakuwa wa mwisho katika usajili wa mwaka huu.
TSC MWANZA YAENDELEA KUFANYA VIZURI KWENYE ZIARA YAKE NCHINI UJERUMANI - YATINGA NUSU KOMBE LA FALLERHOF
TSC Mwanza. |
Timu ya soka ya kituo cha TSC Mwanza imeendelea kufanya vizuri kwenye mashindano mbalimbali inayoshiriki hapa nchini Ujerumani baada ya kuweza kutinga nusu fainali ya kombe la Fallerhof inayoshirikisha timu sita.
Stuttgart Kickers |
VFL Bochum |
Fc Freiburg |
No comments:
Post a Comment