Monday, April 23, 2012
LULU ALIZA WATU KISUTU, KESI YAPIGWA KALENDA
Lulu akitoka mahakamni na kurudishwa mahabusu gereza la Segerea |
MWIGIZAJI nyota wa
filamu Tanzania, Elizabeth Michael ‘Lulu’ leo amewatoa machozi baadhi ya watu
waliohudhuria kesi yake katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu, Dar es
Salaam.
Lulu mwenye umri wa
miaka 17, anayekabiliwa na kesi ya mauaji ya mwigizaji mwenzake, Steven Charles
Kanumba, aliwasikitisha watu na baadhi kumwaga machozi, kutokana na jinsi
alivyowasili Mahakamani hapo akiwa chini ya ulinzi mkali wa askari
Magereza.
“Masikini biti
anapata matatizo sasa, inatia huruma, nawaonea huruma wazazi wake, wanakosa raha
sasa,”alisikika mtu mmoja akisema mahakamani hapo.
Pamoja na kufikishwa
mahakamani hapo,
Hakimu Mkazi wa
Mahakama Kisutu, Ritha Tarimo aliahirisha kesi hiyo hadi Mei 7, mwaka kwa sababu
upelelezi bado unaendelea.
Lulu anayekabiliwa na
tuhuma za kumuua The Great Kanumba aliyefariki dunia, Aprili 7, mwaka huu
nyumbani kwake Vatican, Sinza Dar es Salaam, hii ni mara ya pili kufikishwa
mahakamani hapo.
Lulu aliyecheza
filamu kadhaa na marehemu Kanumba waliyeibuka naye katika kundi la Kaole,
Magomeni, hakutakiwa kutoa maelezo yoyote Mahakamani, kwa kuwa Mahakama hiyo
haina mamlaka ya kusikiliza kesi za mauaji.
Wakati kesi hiyo
ikiwa katika hatua za mwanzoni, Polisi bado inaendelea na uchunguzi wake na
baadhi ya watu wakiwemo wasanii wamekuwa wakihojiwa kulisaidia jeshi hilo
upelelezi.
Taarifa za awali
baada ya kifo cha Kanumba, zilisema kwamba mwigizaji huyo alifariki baada ya
kusukumwa na Lulu nyumbani kwake Sinza Vatican, ambaye inadaiwa alikuwa mpenzi
wake.
Inaelezwa baada ya
tukio hilo, Lulu alikimbia nyumbani kwa Kanumba na mdogo wa Ther Great, Sethi
Bosco akaenda kuchukua gari kumpeleka kaka yake hospitali ya Muhimbili, ambako
alipofika iligundulika amekwishafariki dunia.
Sethi alikaririwa
akisema kwamba siku ya tukio, Lulu alikwenda kwao usiku wa manane na alipofika
yeye (Sethi) alimuacha aongee na kaka yake. Sethi alidai aliwaacha sebuleni
akaingia chumbani kwake na baadaye akasikia wameingia chumbani (kwa
Kanumba).
Sethi alisema baada
ya muda alisikia kelele za dalili ya ugomvi na baada ya muda Lulu alitoka
kumwambia (Sethi) juu ya hali ya Kanumba kubadilika na kuwa mbaya.
Sethi alidai
aliposikia hivyo akashituka na kwenda chumbani ambako alimkuta kaka yake katika
hali mbaya, povu likimtoka mdomoni hivyo kuchukua hatua ya kumuita daktari wake,
kabla ya kumkimbiza Muhimbili.
Lulu alikamatwa
asubuhi ya kuamkia siku ya tukio hilo, linalodaiwa kutokea usiku wa manane na
kuwekwa kizuizini katika kituo cha Polisi Oysterbay, Kinondoni, Dar es
Salaam.
Tayari baadhi ya
wanaharakati wa haki za wanawake wamekwishatangaza azma yao ya kumsaidia Lulu
katika kesi hii.
Miongoni mwao ni
Mbunge wa Jimbo la Kawe, (CHADEMA), Halima Mdee.
Bado watu wanajiuliza
maswali mengi kuhusu kifo cha Kanumba, mojawapo kama kweli Lulu anayedaiwa
kumuuwa wakati wakigombana ‘ana ubavu’ huo.
Lakini pia, siku ya
kifo cha Kanumba, inadaiwa alionekana katika ukumbi wa starehe, Club Maisha
akinywa pombe.
Uchunguzi wa
madaktari katika hospitali ya Rufaa ya Muhimbili ulisema pombe kali aina ya
Jackie Daniels ilisababisha kifo cha mwigizaji huyo.
Lakini baadhi ya
vielelezo vilipelekwa kwa mkemia mkuu wa serikali, ili kutaka kujua kama msanii
huyo aliwekewa sumu.
Kifo cha Kanumba
kimewaumiza wengi, kwani msanii huyo alikuwa mahiri na kipenzi cha wapenzi wa
filamu nchini.
Wapembuzi wa mambo
wanasema huu ni msiba wa kwanza kuteka hisia za watu wengi zaidi, tangu kifo cha
baba wa taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere Oktoba mwaka 1999.
GARI WATAKALOGOMBEA MABONDIA MAUGO NA CHEKA HILI HAPA
Msemaji
wa Mpambano wa Ngumi kati ya Mada Maugo na Francis Cheka , Yasini Abdallah
akionesha mkana na gari atakalopewa mshindi wa mpambano huo.picha nawww.superdboxingcoach.blogspot.com
- Johannes Lugenge kushoto na Promota wa Mpambano wa Mada Maugo na Francsis Cheka, Lucas Rutainurrwa wakionesha mkana wa Ubingwa wa I.B.F Afrika na gari atakalochukua bingwa wa mchezo huo Dar es salaam.picha na www.superdboxingcoach.blogspot.com
Na Mwandishi Wetu
WAANDAAJI wa pambano la ubingwa wa IBF kati ya Francis Cheka na Mada Maugo leo wameonesha rasmi gari watakalogombania Mabondia Mada Maugo Na Francis Cheka Aprili 28 mwaka huu katika ukumbi wa PTA, Dar es Salaam.
Pambano hilo linatarajiwa kuwa katika uzito wa kg 75 la raundi 12 la Kimataifa ambapo linatarajiwa kuwa chini ya Kamisheni ya Kamisheni ya Ngumi za Kulipwa Tanzania (TPBC) huku majaji wa pambano hilo wakitegemewa kutoka nje ya nchi.
Akizungumza Dar es Salaam leo, Msemaji wa mpambano huo Yasini Abdallah alisema kuanikwa kwa mkanda huo na Gari kuwekwa Hadharani kutaashiria kupamba moto kwa pambano hilo ambalo linatarajia kuwa katika ngazi ya Kimataifa ili kuweza kupatikana kwa mshindi wa halali na pia itafuta hisia za kuwepo na ubabaishaji katika pambano hilo.
“Tunauanika Gari na mkanda ili kuwathibitishia wadau wa ngumi na mashabiki kwa ujumla kuwa tupo makini na pambano hili na sio la kibabaishaji na kama tulivyosema awali kuwa majaji watoka nje ya nchi na hiyo yote ni kutaka mchezo uchezeshwe kulingana na hadhi ya mkanda,” alisema Kaike.
Alisema, maandalizi kwa ujumla ya pambano hilo yanaendelea vizuri na zawadi ya gari kwa mshindi iko pale pale ambapo mshindi atakabidhiwa siku hio hio ya pambano baada a kutangazwa mshindi na kupewa mkanda itafuatiwa na zawadi hiyo ya gari.
Awali mabondia hao walishakutana mara mbili ulingoni ambapo katika pambano la kwanza lilofanika PTA Cheka alishinda kwa pointi ambapo Maugo hakukubali matokeo hao na kuandaliwa pambano la marudiano lilofanyika Uwanja wa Jamuhuri Morogoro ambapo Cheka aliibuka mshindi tena kwa kumtwanga kwa pointi.
Baada ya kumalizika kwa pambano hilo kila bondia aligoma kucheza na mwenzake tena lakini baada ya kuandaliwa pambano hilo la ubingwa kila mmoja alibadilisha nia na kuamua kurudi ulingoni kuwania mkanda huo.
Mbali na kuwepo mapambano ya ngumi kutakuwa na uuzwaji wa DVD zenye mapambano ya mabingwa wa Dunia akiwemo Manny Paquaio, Floyd Maywherth, Roy Jones,Miguel Cotto,Linox Lewis na wengine kiba DVD hizo zilizoandaliwa kwa ubora wa hali ya juu zitakuwa zikiuzwa kwenye mpambano huo na Kocha wa Kimataifa wa mchezo huo. Rajabu Mhamila ‘Super D’, alisema kuwa kutakuwa na DVD ili kuweza kuwauzia mashabiki kwa ajili ya kujifunza Kanuni na Sheria za mchezo huo.
“Ninatarajia kuwepo kwa ajili ya kuwauzia DVD mashabiki wa ngumi watakaokuwepo katika pambano la Cheka na Maugo ili kuweza kujifunza mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na sheria za mchezo wa ngumi”, alisema Super D .
ALONSO AIWANGIA BARCELONA KWA CHELSEA
KIUNGO wa Real Madrid, Xabi
Alonso ameihakikishia Chelsea kwamba Barcelona si timu
isiyofungika kwenye Uwanja wake wa Camp Nou.
The Blues ina kipaumbele cha bao dhidi ya klabu hiyo ya Katalunya ikijiandaa kumenyana nayo katika mechi ya marudiano ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa kesho, na Alonso, mmoja wachezaji wa Real Madrid walioifunga timu hiyo ya Pep Guardiola katika El Clasico Jumamosi , anaamini kwamba licha ya vipaji vyao, mabingwa hapo watetezi wanafungika.
"Sababu hiyo haitokani na leo tu," alisema Alonso . "Lakini siku nyingine pia. Tuliona Chelsea wakiwafunga.
"Tunafahamu kwamba miaka michache iliyopita, Barcelona wamekuwa na mafanikio ile mbaya, kwamba walikuwa wakicheza babu kubwa, soka ya kustaajabisha. Lakini wao si timu isiyofungika.
"Chelsea wanaongoza. Wako mbele katika mabao. Kucheza hapa ni vigumu, lakini tutaona kitakachotokea."alisema.
The Blues ina kipaumbele cha bao dhidi ya klabu hiyo ya Katalunya ikijiandaa kumenyana nayo katika mechi ya marudiano ya Nusu Fainali ya Ligi ya Mabingwa kesho, na Alonso, mmoja wachezaji wa Real Madrid walioifunga timu hiyo ya Pep Guardiola katika El Clasico Jumamosi , anaamini kwamba licha ya vipaji vyao, mabingwa hapo watetezi wanafungika.
"Sababu hiyo haitokani na leo tu," alisema Alonso . "Lakini siku nyingine pia. Tuliona Chelsea wakiwafunga.
"Tunafahamu kwamba miaka michache iliyopita, Barcelona wamekuwa na mafanikio ile mbaya, kwamba walikuwa wakicheza babu kubwa, soka ya kustaajabisha. Lakini wao si timu isiyofungika.
"Chelsea wanaongoza. Wako mbele katika mabao. Kucheza hapa ni vigumu, lakini tutaona kitakachotokea."alisema.
AVATAR LA KICHINA HILI HAPA
'Avatar 2': Made in China?
More and more
Hollywood filmmakers are looking across the Pacific these days, and James
Cameron is among them. Walt Disney Co., Relativity Media, and DreamWorks
Animation have all announced plans to co-finance and release films in China, and
now Cameron has traveled to the country to explore the
possibility.
During a five-day visit to Beijing, the Titanic director told Reuters, "We're all looking very seriously at the possibility of a co-production. The question is, what's required of us? In terms of configuring the market for the Chinese marketplace, and what economic benefit do we get in return?" He added, "If it works — and I want to definitely stress if — it seems to me it could be very advantageous to the Chinese film community, because for us to do a film like Avatar which is an entirely studio shoot, we wouldn't be here for the scenery ... We'd be bringing in infrastructure to do virtual production, to do 3-D photography and so on, which I would think would be a positive technology exchange into this film-making community."
However, like other filmmakers, Cameron is concerned about the restrictions the Chinese government would place on Hollywood films. "It all needs to be dealt with upfront. Here's the script, this is what we're doing, and if there's a problem with that then I have to decide creatively if I'm going to accommodate, or if I'm going to pass," he explained. Currently the government limits the number of foreign films that can be distributed in the country, and bans films which contain content deemed inappropriate. However, Cameron thinks that the Chinese people, who are huge fans of American films, should have the final say in what's acceptable to see in theaters. "I think that any restrictions that are not strictly market driven are unnecessary," he said. "I think the Chinese people will vote with their wallets about what it is they want to see."
During a five-day visit to Beijing, the Titanic director told Reuters, "We're all looking very seriously at the possibility of a co-production. The question is, what's required of us? In terms of configuring the market for the Chinese marketplace, and what economic benefit do we get in return?" He added, "If it works — and I want to definitely stress if — it seems to me it could be very advantageous to the Chinese film community, because for us to do a film like Avatar which is an entirely studio shoot, we wouldn't be here for the scenery ... We'd be bringing in infrastructure to do virtual production, to do 3-D photography and so on, which I would think would be a positive technology exchange into this film-making community."
However, like other filmmakers, Cameron is concerned about the restrictions the Chinese government would place on Hollywood films. "It all needs to be dealt with upfront. Here's the script, this is what we're doing, and if there's a problem with that then I have to decide creatively if I'm going to accommodate, or if I'm going to pass," he explained. Currently the government limits the number of foreign films that can be distributed in the country, and bans films which contain content deemed inappropriate. However, Cameron thinks that the Chinese people, who are huge fans of American films, should have the final say in what's acceptable to see in theaters. "I think that any restrictions that are not strictly market driven are unnecessary," he said. "I think the Chinese people will vote with their wallets about what it is they want to see."
HII NIMEITOA FULL SHANGWE, SOMENI
SBL KUBADILISHA MAISHA YA WATEJA WAKE!
Kampuni ya bia ya Serengeti
(SBL) kupitia vinywaji vyake bora kabisa vya Serengeti premium Lager, Tusker
Lager na Pilsner Lager iameandaa promosheni kubwa na ya aina yake itakayofanyika
Tanzania nzima katika kipindi cha wiki 16 ambapo zawadi mbalimbali
zitashindaniwa.
Promosheni hiyo ya aina yake
imesheheni zawadi mbalimbali kubwa na ndogo kama vile Jenereta 16 , Pikipiki 8,
Bajaji 8, Gari ndogo maarufu kama saloon car 8, pamoja na zawadi zingine nyingi
ambapo kila baada ya wiki mbili gari 1 aina ya saloon itakuwa inashindaniwa,
kila baada ya wiki mbili Bajaji 1 itakuwa inashindaniwa, kila baada ya wiki
Pikipiki moja itashindaniwa na kila baada ya wiki moja Jenereta moja itakuwa
inashindaniwa.
Akizungumzia promosheni hiyo
kabambe Mkurugenzi wa masoko wa kampuni ya bia ya Serengeti, bwana Ephraim
Mafuru amesema promosheni hiyo sio tu inalenga kuongeza mauzo ya vinywaji hivyo
bali pia inalenga kuinua na kubadilisha maisha ya watanzania hususani wateja wa
bidhaa zinazozalishwa na kampuni hiyo ikiwa ni sera mojawapo ya kampuni hiyo
kuisaidia jamii kwa njia mbalimbali kupitia bidhaa zake zenye ubora wa aina
yake.
“Kampuni yetu imekuwa mstari wa
mbele katika kuchangia maendeleo ya taifa letu katika maeneo mbalimbli kupitia
jamii inayotuzunguka na wateja wetu kimaisha, hivyo promosheni hii pamoja na
ukweli kuwa inalenga kuongeza tija katika masoko ya bidhaa zetu bado unaweza
kuona zawadi zitakazoshindaniwa katika promosheni hii ni zawadi kubwa ambazo kwa
namna moja ama nyingine inaweza kubadilisha maisha ya mshindi wetu kutoka hatua
aliokuwepo hadi hatua nyingine, kwa hivyo sisi SBL tunasema tunajivunia kuwa
sehemu mojawapo inayochangia maendeleo ya watanzania wateja wetu na taifa kwa
ujumla” alisema bwana Mafuru.
Kwa upande wake Meneja wa bia
ya Tusker Lager, Bi Rita Mchaki, amesema kampuni ya bia ya Serengeti inazalisha
bidhaa zinazopendwa na watanzania wengi kutokana na ubora wa kipekee wa bidhaa
hiyo, na kwamba promosheni hiyo kabambe nisawa nakurudisha shukrani zake kwa
watanzania kwa kufanikisha kampuni hiyo kufikia malengo yake
kibiashara.
Watanzania wote wenye umri wa
miaka 18 na zaidi na wanaotumia bidhaa zetu zilizoainishwa katika promosheni hii
wanaombwa kushiriki kwa wingi bila kukata tamaa kwani zawadi zinazoshindaniwa
zinaweza kubadilisha maisha kwa yeyote atakayebahatika kuibuka na
ushindi.
KAMATI YA MAZISHI YA KANUMBA KATIKA SHUGHULI NZITO ILIYOGHARIMU FEDHA NYINGI
Akiwa katika huzini kubwa, ni Mwenyekiti wa zamani wa Yanga, Wakili Imani Mahugila Madega tayari kuchangia na Millene Happy Magesse tayari kuandika kilichoingia |
Irene kushoto bize na simu na msosi, kama Janguo kulia |
Millene Happiness magesse kulia na Issa Mussa 'Cloud' kushoto. Fedha zote za michango alikuwa anapokea Cloud, halafu Happy Magesse anaandika kitabuni. |
Ruge na Dk Nchimbi |
Kamati ya Mazishi ya Steven
Kanumba ikiwa kazini katika michakato ya bajeti. Wa kwanza kutoka kulia ni Ruge,
anayemfuatia ni Dk Nchimbi, JB na Wajumbe wengine wa Kamati hawapo
pichani. |
SAGNA ASEMA ARSENAL HAWAKUWA BORA KWA CHELSEA
-
Sagna exclusiveBacary reflects on Saturday's goalless draw against Chelsea
Bacary Sagna amesema Arsenal haikuwa katika kiwango chake cha ubora katika mechi dhidi ya Chelsea, lakini amefurahia kucheza mechi tano kati ya saba bila nyavu zao kuguswa
Sare ya 0-0 Uwanja wa Emirates inawabakiza watoto wa Arsène Wenger nafasi ya tatu, wakiizidi pointi tatu Newcastle ambao wana mchezo mmoja mkononi.
Sagna bado hajiamini kwamba wanaweza kupata nafasi ya kucheza Ligi ya Mabingwa na amesema timu yao lazima irejeshe fikra zake kwenye mechi dhidi ya Stoke Jumamosi haraka sana.
“Nafikiri dhidi ya Chelsea tulihangaika kugongeana pasi kama kawaida yetu.Hatukukaa sana na mpra na tulisota kutengeneza nafasi,” alisema Sagna . “Lakini angalau hatukufungwa na tumeendeleza kutoruhusu nyavu zetu kutikiswa, hivyo lazima tuangalie mbele katika mchezo ujao.
“Tunataka kurfuzu Ligi ya Mabingwa na tunataka kumaliza katika nafasi ya tatu. Haitakuwa rahisi, lakini tunataka kufanya hivyo.
“Kila mmoja anataka kufuzu Ligi ya Mabingwa . Tottenham wapo nyuma yetu, Newcastle hawako mbali.”alisema.
MKUTANO MKUU TFF HAUNA LOLOTE LA MAANA, USANII MTUPU
WENGI
walitarajia Mkutano Mkuu wa TFF uliofanyika Jumamosi na Jumapili, ungejadili
mambo ya msingi katika kutafuta suluhisho la matatizo sugu katika soka yetu,
lakini kulingana na taarifa ambayo bongostaz.blogspot.com imetumiwa na TFF,
Mkutano huo ulikuwa bure tu.
Zaidi
taarifa ya TFF imejaa siasa tu na si kuhusu namna ya kuikwamua soka yetu kutoka
hapa ilipo, maana yake chini ya TFF hii tumekwisha!
SOMA
MWENYEWE TAARIFA YAO UJIONEE, KUNA KITU HAPA?
MKUTANO
MKUU WA MWAKA 2011 WA TFF
Mkutano
Mkuu wa Mwaka (AGM) wa 2011 wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
umefanyika kwa siku mbili (Aprili 21-22 mwaka huu) kwenye ukumbi wa NSSF
Waterfront na kuhudhuriwa na wajumbe 104. Mkutano ulipokea taarifa, kufanya
uamuzi katika masuala mbalimbali na mengine yaliyojitokeza kama
ifuatavyo;
EL
MAAMRY, NDOLANGA WATUNUKIWA URAIS WA HESHIMA
AGM
ilipitisha pendekezo la kuwatunuku urais wa heshima wa TFF, Alhaji Said Hamad El
Maamry na Muhidin Ahamadi Ndolanga lililowasilishwa na Mwenyekiti wa mkutano huo
ambaye pia ni Rais wa TFF, Leodegar Tenga.
Alhaji
El Maamry ambaye ni mjumbe wa heshima wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika
(CAF) alikuwa Mwenyekiti wa TFF wakati huo ikiitwa Chama cha Mpira wa Miguu
Tanzania (FAT) kuanzia mwaka 1973 hadi 1986. Alhaji Ndolanga aliongoza FAT
kuanzia mwaka 1993 hadi 2004.
BAJETI
YA MWAKA 2012
Bajeti
ya Mwaka 2012 ya sh. 7,246,628,650 kwa ajili ya matumizi ya TFF ilipitishwa. Kwa
mwaka 2012 TFF inatarajia kukusanya sh. 7,572,991,433 kupitia vyanzo
mbalimbali.
Vyanzo
hivyo ni viingilio vya uwanjani vinavyotarajiwa kuingiza asilimia 22 ya mapato
yote, udhamini (asilimia 74) na vyanzo vingine kama haki za matangazo ya
televisheni, ada za ushiriki wa timu katika mashindano mbalimbali, misaada
kutoka FIFA na CAF ambayo kwa pamoja vinatarajiwa kuingiza asilimia nne ya
mapato yote.
KAMATI
YA LIGI YA TFF
Kamati
ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) itaendelea na mchakato wa
kupendekeza mifumo mitatu tofauti ya chombo kitakachosimamia/kuendesha Ligi Kuu
ya Vodacom (VPL) na Ligi Daraja la Kwanza (FDL) ikieleza faida na athari za kila
mfumo uliopendekezwa na baadaye kuwafanya mawasilisho (presentation) kwenye
Kamati ya Utendaji.
Baada
ya kuwasilisha mifumo hiyo kwa Kamati ya Utendaji, Kamati ya Ligi itapendekeza
mfumo upi kati yao hiyo inaoona unafaa kabla ya kufanyika uamuzi wa
mwisho.
Lengo
la kuunda chombo maalumu cha kuendesha ligi ni kuongeza ufanishi katika
uendeshaji wa VPL na FDL, na pia kuifanya Sekretarieti ya TFF kushughulikia
zaidi shughuli za maendeleo.
UUZWAJI
WA TIMU
Uuzaji
wa timu linabaki kuwa suala la kisheria. Lakini TFF imeweka utaratibu ufuatao;
lazima Mkutano Mkuu wa klabu husika uidhinishe uuzaji, na timu ikishauzwa
inabaki katika mkoa husika.
MFUMO
WA MASHINDANO
Kwa
vile kuna tatizo la ligi mbalimbali kuwa fupi, hali inayosababisha baadhi ya
wachezaji katika madaraja ya chini kucheza ligi zaidi ya moja katika msimu
mmoja, mfumo wa ligi/mashindano utaangaliwa upya.
Mfumo
uliopo sasa uliwekwa kwa ajili ya kuvutia uwekezaji katika mpira wa miguu ambapo
mwekezaji anaweza kuanzisha timu, na ndani ya miaka mitatu ikacheza Ligi Kuu.
Pili, ilikuwa ni kuondoa mlolongo mrefu wa ligi, na kuwafanya wanachama wa TFF
(mikoa) nao kuendesha ligi zao mikoani.
Ijulikane
kuwa ligi za mikoa (regional leagues) zinachezwa. Kwa sababu TFF inaendeshwa kwa
mfumo wa shirikisho (federation), nia ni wanachama wa federation nao kuwa na
majukumu ya kusimamia na kuendesha ligi, kwa vile TFF haiwezi kusimamia ligi
zote.
MAREKEBISHO
YA KATIBA
Mkutano
Mkuu wa TFF umepitisha marekebisho ya Katiba katika maeneo mawili; moja ni
kuanzisha Baraza la Wadhamini ambalo linatakiwa kuwa na wajumbe wasiopungua
watatu na wasiozidi watano.
Marekebisho
mengine ni kuongeza idadi ya kanda kutoka kumi na moja za sasa hadi 13.
Marekebisho hayo yamefanyika kutokana na Serikali kuongeza mikoa mipya ya
kijiografia.
Kanda
mpya sasa zitakuwa Kagera/Geita, Arusha/Manyara, Kilimanjaro/Tanga,
Katavi/Rukwa, Njombe/Ruvuma, Dodoma/Singida, Dar es Salaam, Shinyanga/Simiyu,
Mwanza/Mara, Lindi/Mtwara, Kigoma/Tabora, Mbeya/Iringa na
Pwani/Morogoro.
Ukiondoa
mamlaka ya uteuzi aliyonayo Rais kwa mujibu wa Katiba ya TFF, wajumbe wote wa
Kamati ya Utendaji huchaguliwa kwa kanda.
HESABU
ZILIZOKAGULIWA
Mkutano
Mkuu ulipitisha hesabu zilizokaguliwa za mwaka 2010 (Audited Accounts) , na pia
kuiteua kampuni ya ukaguzi wa hesabu ya TAC Associates kuwa mkaguzi wa hesabu za
TFF kwa kipindi cha miaka minne ijayo.
YANGA
YAOMBA RADHI MKUTANO MKUU
Mjumbe
wa Kamati ya Utendaji ya Yanga ambaye pia mjumbe wa Mkutano Mkuu wa TFF
akiwakilisha klabu za Mkoa wa Dar es Salaam, Mohamed Bhinda aliwaomba radhi
wajumbe wa Mkutano Mkuu kwa kitendo cha wachezaji wake kumpiga mwamuzi Israel
Nkongo kwenye mechi ya Ligi Kuu ya Vodacom dhidi ya Azam iliyochezwa Machi 10
mwaka huu.
Pia
alimuomba Rais wa TFF, Leodegar Tenga kutoa msamaha wa adhabu ya kulipa faini
iliyotolewa na Kamati ya Ligi ya TFF kwa wachezaji wawili wa Yanga ambao mpaka
sasa hawajalipa faini hiyo.
Rais
Tenga alimshukuru Bhinda kwa ujasiri alioonesha wa kuomba radhi mbele ya wajumbe
wa Mkutano Mkuu wa TFF kwa kitendo kile. Aliongeza kuwa kwa vile yeye ni muumini
wa kanuni, na adhabu hizo zimetolewa kwa mujibu wa kanuni hawezi kutoa msamaha,
hivyo wachezaji hao walipe faini hizo.
Pia
Rais Tenga alisema binafsi haziingilia kamati za TFF katika uamuzi ambao
zinafanya kwa vile zina watu waadilifu, na angekuwa yeye binafsi ndiye anayetoa
adhabu, angetoa adhabu kali zaidi kwa vile vitendo vya kupiga waamuzi
havikubaliki katika mchezo wa mpira wa miguu.
KANUNI
ZA NIDHAMU, MAHAKAMA YA USULUHISHI
Akizungumza
wakati wa kufunga mkutano huo, Rais Tenga aliwaambia wajumbe kuwa Kanuni za
Nidhamu (Disciplinary Code) za TFF na uundaji wa Mahakama ya Usuluhishi
(Arbitration Tribunal) ya TFF ambacho ndicho kitakuwa chombo cha juu cha kutoa
haki kwa masuala ya mpira wa miguu nchini vitakamilika mwaka huu.
Pia
TFF itaendelea kutafuta wadhamini kwa ajili ya timu za Taifa za vijana na
wanawake, itaendelea kuendesha semina na makongamano katika nyanja mbalimbali za
mpira wa miguu, kutengeneza mtaala wa academy na kutengeneza mpango wa maendeleo
(Comprehensive Plan) baada ya ule wa awali kumalizika mwaka
huu.
Boniface
Wambura
Ofisa
Habari
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)
UBINGWA BADO WA MAN UNITED TU
Papers: Mancini backs Reds
23/04/2012 08:00
Mancini:
Put your money on UnitedManchester City boss Roberto Mancini saw his
side claw their way back into the title race, then insisted: Put your money on
United. City closed to within three points of Sir Alex Ferguson's Manchester
United thanks to their win at Wolves and United's slip-up against Everton.
Leaders United travel to the Etihad Stadium a week today, where victory for
Mancini's men would put them back in the driving seat. But despite that, the
Italian reckons the title remains an impossible dream. “I don't bet, I don't
like it, but maybe you can put your money on Manchester United, 100 per cent,”
said Mancini, while insisting he is not playing mind games. “Only one team can
win this title. We have three points less and after the derby game we play
Newcastle, who are fighting for the Champions League, and QPR, who are fighting
relegation. I don’t think United are under pressure because they are used to
this every year. For us it is different – it’s our first time. At the moment we
don’t have any pressure because we don’t have any chance to win. It’s
impossible. We will probably lose to United. Everyone wrote that the title race
was finished seven days ago.”
Dave Armitage, Daily Star
Dave Armitage, Daily Star
City
goalkeeper Joe Hart says City are ready for the Manchester
derby: “We’ve always been focused on finishing the season well and we have given
ourselves a really good chance. Our title chances are certainly a lot better
than they were at the start of Sunday. We are excited, we feel ready, we are
firing goals in. We are looking forward to it.”
All
of the papers have already begun the countdown to the derby with many running
Sir Alex's quote about it being "the biggest derby I've been involved in."
MCHEZAJI AZAM AFIA GESTI SINZA
Baadhi ya wachezaji wa Azam |
RAIA wa Nigeria,
Ferdinand Uzoma Onyenso(31), amekutwa amekufa katika chumba alichokuwa amepanga
katika nyumba ya kulala wageni Fanaleki iliyopo Sinza wilayani Kinondoni, Dar es
Salaam. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kinondoni, Charles Kenyela alisema mtu huyo alikutwa amekufa juzi saa 6:30 mchana katika chumba namba 110 huku maiti yake ikiwa imelala kitandani na haikuwa na jeraha lolote. Kenyela alisema uchunguzi wa awali unaonesha kuwa Onyenso alikuja hapa nchini kwa ajili ya shughuli za kimichezo kuchezea mpira wa miguu katika timu ya Azam FC iliyopo Ligi Kuu Tanzania Bara. Alisema chumba chake kilipopekuliwa ilipatikana hati yake ya kusafiria namba A03512586 iliyotolewa nchini Nigeria pamoja na hati ya Uhamiaji iliyotolewa hapa nchini yenye namba 01767922. Aidha alisema kuwa Onyenso alikuwa amepanga chumba hicho Aprili 20 na maiti yake imehifadhiwa katika hospitali ya Mwananyamala kwa upelelezi zaidi. Wakati huohuo, Mwandishi Timzoo Kalugira anaripoti kuwa klabu ya Azam imedai Onyenso si mchezaji wake na wala haimtambui. Katibu Mkuu wa Azam, Nassoro Idrissa akizungumza na gazeti hili jana alisema kuwa wameshtushwa na taarifa hizo za polisi na kuomba ufanyike uchunguzi haraka ili kuweza kubaini ukweli halisi. “Hatuna mchezaji kutoka Nigeria ambaye tunataka kumsajili, inawezekana kuna watu wanatumia jina la timu yetu au walimchukua huyo mchezaji kwamba asubiri baada ya ligi wamtafutie timu, pengine ndiyo wamemwambia watamleta Azam. “Ni tukio la kusikitisha kibinadamu kwamba ametangulia mbele ya haki, lakini naomba uchunguzi ufanyike namna alivyoingia ili kubaini ukweli ni upi, lakini sisi Azam huwa mambo yetu tunapenda kuweka hadharani, huyo si mchezaji wetu,” alisema. |
KOMBE LA YANGA KUGOMBEWA JUNI
Kikosi cha Yanga |
Dar es Salaam, kuanzia Juni 23 hadi Julai 7 mwaka huu.
Katibu Mkuu wa Baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), Nicholas Musonye amethibitisha kwamba michuano hiyo kwa mara nyingine tena itafanyika jijini Dar es Salaam, baada ya kufanyika kwa mafanikio zaidi mwaka jana.
Kwa mujibu wa Musonye, kufanyika kwa michuano hiyo nchini Tanzania ni kutokana kuwa na
uhakika wa udhamini mkubwa.
Bingwa mara 12 wa Ligi Kuu ya Rwanda na bingwa mara nne wa Kombe la Kagame, APR, ambayo imekiimarisha kikosi chake msimu huu, licha ya kutolewa mapema kwenye michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika, imejipanga kulitwaa kombe hilo kwa mara ya tano.
Mwaka jana APR na Etincelles zilitolewa hatua ya makundi ya michuano hiyo.
Mwaka jana Yanga ilitwaa taji la michuano hiyo kwa kuifunga Simba kwa bao 1-0 hatua ya fainali, ambapo Yanga ilikuwa ikinolewa na Mganda Sam Timbe ambaye hilo lilikiwa ni taji lake la nne la Cecafa, baada ya kulibeba mwaka 2009 akiwa na Atraco, Polisi Uganda (2006)
na SC Villa (2005).
Rais Paul Kagame amekuwa akidhamini kombe hilo kwa zawadi za washindi kwa dola 60,000 sawa na shilingi 93,600,000.
SAMATTA AREJEA NA USHINDI MAZEMBE
Samatta katika game la jana |
CHRIS BROWN AIBUKA NA SWAGA ZA MBWA
Chris Brown's Selling Puppies Online Now
Chris Brown is
known for a lot of things: epic morning show freakouts, jaw-dropping dance
moves, Twitter wars, and, oh yeah, that little Rihanna incident.
But
now, add another thing: Dog breeder and salesman. Brown put seven puppies up for
sale at the web site www.cbbreeds.webs.com. The price tag? $1,000 per
pooch.
And
the dogs are pretty darn adorable, with names like Precious, Pretty, Music and
Beauty.
Sure,
Brown hasn't had the best track record with dogs. Last year, he was accused of
racing dogs in the hallway of his West Hollywood complex after residents
complained he was "the neighbor from hell."
Won't
you help these little guys find a nice home?
No comments:
Post a Comment