Monday, November 14, 2016

Wakazi wa Ukonga wapagawa na tamasha la mziki mnene chini ya Vodacom Tanzania

Msanii wa muziki wa Singeli  Tamimu Mshauri Salum akiwapagawisha mashabiki wa  muziki huo  kwenye  tamasha Mziki Mnene linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Gonga Ukonga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.


Baadhi ya wakazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam wakipagawa na mziki wa kizazi kipya wa Singeli wakati wa tamasha la Mziki Mnene lililofanyika katika viwanja vya Gonga na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania mwishoni mwa wiki.


Msanii chipukizi wa mziki wa Singeli mkazi wa Ukonga jijini Dar es Salaam,Aaron Chiwaz akiwapagawisha wakazi wa mji huo  kwenye  tamasha Mziki Mnene linalodhaminiwa na Vodacom Tanzania na kufanyika katika viwanja vya Gonga Ukonga jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.


No comments: