Thursday, June 4, 2015

KUELEKEA FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE-INIESTA AONGEZA NGUVU BARCA



 Get the UEFA Champions League final programme



 
Andres Iniesta
 Na Juma Mohamed
WAKATI Juve wakipata pigo kwa baadhi ya wachezaji wao kuwa majeruhi kuelekea fainali ya Jumamosi katika dimba la Olympiastadion, mjini Berlin nchini Ujerumani, Barcelona wao wanazidi kuimarika baada ya kiungo wao mkongwe Andres Iniesta kuanza mazoezi leo asubuhi kujiweka tayari kwa ajili ya mchezo huo.

SOURCE: UEFA

No comments: