Tuesday, December 16, 2014

WALIOINGIA NA KUTOKA SIMBA NA YANGA HAWA HAPA..

YangaSimba



Dirisha dogo la usajili katika ligi kuu Tanzania Bara lilifungwa rasmi mnamo saa sita usiku wa kuamkia tarehe 16. Siku ya mwisho ilishuhudia klabu za Simba na Yanga zikiwa katika hekaheka za kuhakikisha zinaboresha vikosi vyao tangu kumalizika kwa mchezo wa Nani Mtani Jembe siku ya Jumamosi. Hivi ndivyo usajili ulivyokuwa.

SIMBA:

Rais wa Simba Evans Aveva na mshambuliaji mpya wa Simba Danny Serunkuma
Rais wa Simba Evans Aveva na mshambuliaji mpya wa Simba Danny Serunkuma

Waliosajiliwa:
Juuko Murshid
Dan Serunkuma
Simon Serunkuma
Hassan Ramadhan Kessy

Waliotemwa
Pierre Kwizera
Amisi Tambwe

YANGA

Amisi Tambwe akisaini kuichezea klabu ya YangaAmisi Tambwe akisaini kuichezea klabu ya Yanga
Waliosajiliwa:
Amisi Tambwe
Kpah Sherman
Danny Mrwanda

Waliotemwa
Mbrazil Emmerson ni kati ya waliotemwa na klabu ya Yanga
Mbrazil Emmerson aliewasili nchini hivi karibuni ni kati ya waliotemwa na klabu ya Yanga

Emerson de Oliviera Roque
Gerson Santos

SOURCE: Kilimanjaro

No comments: