DI MATTEO KUWAPANGA PAMOJA DROGBA NA TORRES JUMAMOSI NA BAYERN MUNICH
Drogba kushoto, Torres na Lampard kulia |
KOCHA wa Chelsea, Roberto Di
Matteo anaweza kuwapanga pamoja katika safu ya ushambuliaji Fernando
Torres na Didier
Drogba wacheze pasha kwenye fainali ya Ligi ya Mabingwa Ulaya Jumamosi wiki
hii, baada ya kuwajaribu wawili hao katika mechi na Blackburn
Rovers mwishoni mwa wiki.
Wapachika mabao hao wawili, hawajawahi kuanza pamoja chini ya Mtaliano huyo katika kipindi chake cha miezi miwili ya kuwa kazini na kocha huyo wa zamani wa West Brom amesema atawaweka pamoja Jumamosi dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Allianz Arena.
"Nimejaribu vitu vichache ili kuwa mtazamo mpya na kuona itafanyaje kazi. Wakati wote ni ngumu, kwa sababu ni wazi itakuwa nafasi tofauti," alisema. "Lakini nimekuwa nikijaribu kubadilisha vitu vichache."
Wawili hao wote wamejaribu kuzinduka mwishoni mwa msimu na wote wamefunga mabao muhimu katika mechi ngumu, Drogba alifunga kwenye fainali ya Kombe la FA wakati Torres alifunga bao la dakika za mwishoni Uwanja wa Camp Nou lililoipeleka The Blues fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Huku viungo Ramires na Raul Meireles ikifahamika wataikosa mechi hiyo, Di Matteo anaweza kabisa kuimarisha kikosi chake kuwa mpanga Drogba na Torres mbele.
Wapachika mabao hao wawili, hawajawahi kuanza pamoja chini ya Mtaliano huyo katika kipindi chake cha miezi miwili ya kuwa kazini na kocha huyo wa zamani wa West Brom amesema atawaweka pamoja Jumamosi dhidi ya Bayern Munich Uwanja wa Allianz Arena.
"Nimejaribu vitu vichache ili kuwa mtazamo mpya na kuona itafanyaje kazi. Wakati wote ni ngumu, kwa sababu ni wazi itakuwa nafasi tofauti," alisema. "Lakini nimekuwa nikijaribu kubadilisha vitu vichache."
Wawili hao wote wamejaribu kuzinduka mwishoni mwa msimu na wote wamefunga mabao muhimu katika mechi ngumu, Drogba alifunga kwenye fainali ya Kombe la FA wakati Torres alifunga bao la dakika za mwishoni Uwanja wa Camp Nou lililoipeleka The Blues fainali ya Ligi ya Mabingwa.
Huku viungo Ramires na Raul Meireles ikifahamika wataikosa mechi hiyo, Di Matteo anaweza kabisa kuimarisha kikosi chake kuwa mpanga Drogba na Torres mbele.
GARY NEVILLE AINGIA THREE LIONS NA KIKOSI CHAKE
BEKI wa zamani wa Manchester
United, Gary
Neville ametajwa kama Msaidizi wa kocha Roy
Hodgson katika kikosi cha England leo
mchana, akisaini mkataba wa miaka minne na FA.Baada ya mwaka uliopita kufanya
kazi kama mchambuzi wa TV ya Sky Sportstangu astaafu soka mwaka 2011, mkongwe
huyo mwenye umri wa miaka 37, amelamba dume kuingia kwenye benchi la ufundi la
Three Lions.
Uteuzi huo unakuja siku chache tangu ateue kikosi chake kwanza cha Three Lions, wakati akifanya kazi yake ya uchambuzi kwenye TV katika mchezo kati ya Liverpool na Tottenham Jumatatu, ulioisha kwa sare ya bila kufujngana.
Katika kikosi hicho, ameteua wachezaji watatu tu wa timu yake, wakiwemo Phil Jones na Chris Smalling ambao kwa sasa ni majeruhi katika safu ya ulinzi na mchezaji mwenzake wa zamani wa United, Rooney akiongoza kikosi.
Tazama kikosi kamili cha Neville hapo juu.
Uteuzi huo unakuja siku chache tangu ateue kikosi chake kwanza cha Three Lions, wakati akifanya kazi yake ya uchambuzi kwenye TV katika mchezo kati ya Liverpool na Tottenham Jumatatu, ulioisha kwa sare ya bila kufujngana.
Katika kikosi hicho, ameteua wachezaji watatu tu wa timu yake, wakiwemo Phil Jones na Chris Smalling ambao kwa sasa ni majeruhi katika safu ya ulinzi na mchezaji mwenzake wa zamani wa United, Rooney akiongoza kikosi.
Tazama kikosi kamili cha Neville hapo juu.
AJISHINDIA PIKIPIKI VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO YA SBL
Meneja wa bia ya Serengeti Premeum Lager, Allan Chonjo akimkabidhi kadi ya usajili wa pikipiki kwa mshindi wa Vumbua hazina chini ya kizibo Ibrahim Kimambo |
Mshindi wa pikipiki katika promosheni ya VUMBUA HAZINA CHINI YA KIZIBO inayoendeshwa na kampuni ya bia ya Serengeti, Ibrahim Kimambo akiwasha pikipiki |
BALOTELLI APUUZA PATI LA TIMU, ATOKA KIVYAKE NA MASELA WAKE
Published: Today at 12:53
MARIO Balotelli alipuuza pati la Manchester City kushangilia ubingwa wa Ligi Kuu England na kuamua kutoka kivyake usiku wa jana.
Mtaliano
huyo alikataa kwenda pati la chakula cha usiku kilichoandaliwa maalum kwa pamoja
na timu na kufanya mtoko kivyake na mdogo wake Enoch.
Kiwa
amevaa kofia flat, mshambuliaji huyo alikwenda kwenye klabu la Kitaliano, San
Carlo wakati wachezaji wenzake na kocha walienda kusherehekea ushindi wao
unaokuja baada ya miaka 44 Hilton Hotel.
Hii
si mara ya kwanza kwa Mario kupuuza sherehe za klabu baada ya ushindi
mkubwa.
Mei
mwaka jana alipuuzia sherehe za City baada ya kutwaa Kombe la FA.
Pia
alishindwa kutokea kwenye sherehe za tuzo za msimu za klabu hiyo, zilizoambatana
na chakula cha usiku, japo alishinda tuzo ya Mchezaji Bora Chipukizi wa
Mwaka.
No comments:
Post a Comment