Wednesday, April 11, 2012
EXCLUSIVE: MAMA MZAZI WA LULU AONGEA - AOMBA SUALA LA KESI YA MWANAE IACHIWE MAHAKAMA
IKIWA NI MASAA TANGU STEVEN KANUMBA AZIKWE, MAMA WA LULU AMBAYE ANASHIKILIWA NA POLISI KWA KUHUTUMIWA KUSABABISHA KIFO CHA MSANII HUYO, AMEONGEA NA JOYCE KIRIA KUPITIA KIPINDI CHA WANAWAKE LIVE NA KUSEMA KUWA ANA MASIKITIKO NA MSIBA WA KANUMBA AMBAYE ALIKUWA NI KAMA MWANAE NA KUMPA POLE MZAZI MWENZIE MAMA KANUMBA, NA AKAOMBA WATU NA VYOMBO VYA HABARI KUACHA KUHUKUMU NA KUEGAMIA UPANDE MMOJA, AKISEMA WALE WOTE NI WATOTO, NA ALIOMBA WANAHARAKATI WAMSADIE KATIKA MATATIZO HAYA KWA MWANAE.. NA KUSEMA HILI SUALA LIKO MAHAKAMANI NA IACHIWE MAHAKAMA IFANYE KAZI YAKE NA WATU WAACHE KUHUKUMU.
BREAKING NEWS: LULU AFIKISHWA MAHAKAMANI KWA MADAI KUMUUA KANUMBA
Kwa taarifa zaidi endelea kutembelea hapa
No comments:
Post a Comment