Friday, June 8, 2018

MAAFISA UTUMISHI NA WATAALAMU WA AFYA RUVUMA NA DAR WAJENGEWA UWEZO MFUMO WA WISN PLUS POA MTWARA

Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Mahija Yahaya, akiwaelekeza jambo washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa WISN + POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma, yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID.

Mshauri wa Rasilimali watu katika Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Zawadi Dakika, akitoa somo kwa kutumia Kompyuta katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa WISN + POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID. 


ZAWADI DAKIKA


Afisa Sera kutoka mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Christina Godfrey, akitoa maelekezo kwa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa WISN + POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma, yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID.


Afisa Sera kutoka mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Christina Godfrey, akitoa maelekezo kwa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa WISN + POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma, yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID.


Meneja mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 mkoa wa Mtwara, Amina Rajabu, akitekeleza majukumu yake wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa WISN + POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma , yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa 
WISN + POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma, wakiwa wanaelekezana jambo ikiwa ni sehemu ya somo. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID. 



Afisa Sera kutoka mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Christina Godfrey, akitoa maelekezo kwa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa ukokotozi wa mahitaji ya watumishi kwa kila kada katika vituo vya kutolea huduma (WISN Plus POA), yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID.


Mshauri wa Rasilimali watu katika Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Zawadi Dakika, akiwaelekeza jambo washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa ukokotozi wa mahitaji ya watumishi kwa kila kada katika vituo vya kutolea huduma (WISN Plus POA). Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID. 


Meneja Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 Mkoa wa Lindi Aloyce Mwasuka akifafanua jambo kwa  washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa ukokotozi wa mahitaji ya watumishi kwa kila kada katika vituo vya kutolea huduma (WISN Plus POA). Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID. 


Afisa usafirishaji katika Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Peter Henze, akielekezana jambo na meneja mradi wa PS3 mkoa wa Mtwara Amina Rajabu, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa ukokotozi wa mahitaji ya watumishi kwa kila kada katika vituo vya kutolea huduma (WISN Plus POA). Mafunzo hayo yanayoendeshwa na Ofisi ya Rais TAMISEMI chini ya mradi wa PS3 unaofadhiliwa na shirika la Kimarekani la USAID. 


Bi Restituta Masao, ambaye ni mshauri wa Rasiliamli watu katika Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, akitoa elimu kwa  washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mikoa ya Ruvuma na Dar es Salaam juu ya matumizi ya mfumo wa WISN+POA uliorahisishwa na kuzingatia uzito wa kazi katika vituo vya kutolea huduma.

Mfumo wa WISN+POA hutumika kukokotoa mahitaji ya watumishi kwa kila kada katika kituo cha kutolea huduma. Kwa sasa mfumo huu unatumika katika ngazi ya Zahanati na kituo cha afya pekee, ukijumlisha kada mbalimbali zilizopo katika vituo hivyo ambazo ni Waganga, Waganga wasaidizi, Matabibu, Matabibu wasaidizi, Maafisa wauguzi, Maafisa wauguzi wasaidizi na Wauguzi.

Wednesday, June 6, 2018

WAHASIBU NA WAWEKA HAZINA WA HALMASHAURI MTWARA NA LINDI WAIVA KIMABADILIKO YA MFUMO WA EPICOR 10.2


Siku Nne za kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) hatimae zinakamilika leo huku watumishi hao wakiwa wameiva kwa masomo waliyopewa na wawezeshaji kutoka TAMISEMI.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri ya mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), wakielekezana jambo ikiwa ni sehemu ya somo la mafunzo hayo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Afisa Utawala wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Fina Maziku, akiwa katika utekelezaji wa majukumu yake ya kiutawala, katika mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri ya mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), yanayoendeshwa na PS3 nmkoani Mtwara kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. 




Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Hamis Mahmoud, (aliyesimama) akisimamia wanafunzi wake ambao ni Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Mtwara na Lindi, wanaojengewa uwezo juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), yanayoendeshwa na PS3 mkoani Mtwara kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri ya mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), wakielekezana jambo ikiwa ni sehemu ya somo la mafunzo hayo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Kiongozi wa timu ya rasilimali fedha kutoka katika mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 unafadhiliwa na shirika la USAID, Dokta Gemini Mtei, akitekeleza majukumu yake katika mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri ya mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2).


Afisa TEHAMA kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI, Hamis Mahmoud, akiwaelekeza jambo wanafunzi wake ambao ni Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Mtwara na Lindi, wanaojengewa uwezo juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), yanayoendeshwa na PS3 mkoani Mtwara kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri ya mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), wakielekezana jambo ikiwa ni sehemu ya somo la mafunzo hayo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri ya mikoa ya Mtwara na Lindi, juu ya juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), wakielekezana jambo ikiwa ni sehemu ya somo la mafunzo hayo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Wakwanza kulia ni afisa usimamizi wa fedha kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI James Bukumbi, akiwaelekeza jambo wanafunzi wake ambao ni Wahasibu na Waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Mtwara na Lindi, wanaojengewa uwezo juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2), yanayoendeshwa na PS3 mkoani Mtwara kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.




Tuesday, June 5, 2018

MAAFISA UTUMISHI NA WATAALAMU WA AFYA MTWARA WANOLEWA JUU YA UPANGAJI WA WATUMISHI KATIKA VITUO

Kutokana na kuwapo kwa changamoto ya uhaba wa watumishi katika halmashauri mbalimbali mkoani Mtwara ambayo inadaiwa kuchangiwa kwa kiasi kikubwa na mrundikano wa watumishi kwa baadhi ya maeneo, Ofisi ya Rais TAMISEMI kupitia Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, ikaamua kuendesha mafunzo kwa maafisa utumishi na wataalamu wa afya, kuwajengea uwezo juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji.

Msahuri wa rasilimali watu kutoka Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Zawadi Dakika, akitoa maelekezo kwa mmoja wa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji. Mafunzo hayo ya siku mbili yanafanyika mkoani Mtwara yakiendeshwa na mradi wa PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji, wakifuatilia kwa makini somo kutoka kwa muwezeshaji (hayupo pichani).




Kulia ni mganga mkuu wa wilaya ya Nanyumbu, Dokta Faraji Mwakafwila akiwaelekeza jambo washiri wenzake wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji. Mafunzo hayo ya siku mbili yanafanyika mkoani Mtwara yakiendeshwa na mradi wa PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.

Meneja mradi wa Uimarisha wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 mkoa wa Mtwara, Amina Rajabu, akiteta jambo na afisa Sera wa PS3, Christina Godfrey, katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji. Mafunzo hayo ya siku mbili yanafanyika mkoani Mtwara yakiendeshwa na mradi wa PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.




Washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji, wakiwa makini katika kutekeleza kwa vitendo yale wanayofundishwa na wawezeshaji wao.


Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji, wakifuatilia kwa makini somo kutoka kwa muwezeshaji (hayupo pichani).




Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala halmashauri ya wilaya ya Masasi Mohamed Rashid, akiwa na afisa utumishi wa halmashauri hiyo Rehema Machumu, wakielekezana jambo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa utumishi na wataalamu wa afya wa halmashauri za mkoa wa Mtwara juu ya namna bora ya upangaji wa watumishi katika vituo vya kutolea huduma kwa kuzingatia mahitaji. Mafunzo hayo ya siku mbili yanafanyika mkoani Mtwara yakiendeshwa na mradi wa PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID.

 

Monday, June 4, 2018

PS3 YAWAJENGEA UWEZO WA KIMIFUMO WAHASIBU NA WAWEKAHAZINA WA HALMASHAURI MTWARA NA LINDI

     Katibu tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda, akihutubia katika ufunguzi wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) kutoka halmashauri zote za mikoa ya Mtwara na Lindi. Kushoto ni kiongozi wa timu ya rasilimali fedha kutoka katika mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Dokta Gemini Mtei.


     Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifuatilia somo kwa makini. Mafunzo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Mtwara na kushirikisha halmashauri zote za mikoa ya Mtwara na Lindi.


     Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifuatilia somo kwa makini. Mafunzo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Mtwara na kushirikisha halmashauri zote za mikoa ya Mtwara na Lindi.


     Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI James Bukumbi, akiteta jambo na kiongozi wa timu ya rasilimali fedha kutoka katika mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Dokta Gemini Mtei, wakati wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Lindi na Mtwara juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayoendelea mkoani Mtwara.


   Kushoto ni Mhasibu wa halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Masha Mhunzi, akiwa na Mweka hazina wa halmashauri hiyo, Haji Hussein, katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Lindi na Mtwara juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) yanayoendelea mkoani Mtwara.


  Afisa Usimamizi wa Fedha kutoka Ofisi ya Rais TAMISEMI James Bukumbi, akitoa somo kwa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2). Mafunzo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Mtwara na kushirikisha halmashauri zote za mikoa ya Mtwara na Lindi.


    Baadhi ya washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) wakifuatilia somo kwa makini. Mafunzo yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3 kwa ufadhili wa shirika la Kimarekani la USAID. Mafunzo hayo yanafanyika mkoani Mtwara na kushirikisha halmashauri zote za mikoa ya Mtwara na Lindi.


    Kiongozi wa timu ya rasilimali fedha kutoka katika mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Dokta Gemini Mtei, akifafanua jambo juu ya Mradi wa PS3 katika mafunzo ya kuwajengea uwezo watumishi wa kada za uhasibu na waweka hazina wa halmashauri za mikoa ya Mtwara na Lindi juu ya mabadiliko ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma (Epicor 10.2) 


Uzinduzi wa Mfumo wa Uhasibu Ulioimarishwa kwa Ajili ya Kuboresha Uwazi, Usimamizi na Utoaji wa Huduma kwa Wananchi wa Tanzania.

Tarehe 1 Julai 2018, Serikali ya Tanzania itaanza kutumia mfumo mpya wa uhasibu kwa Mamlaka za
Serikali za Mitaa185 za Tanzania bara, kwa msaada wa Serikali ya Marekani kupitia Shirika la
Maendeleo ya Kimataifa la Marekani (USAID). Kwa mara ya kwanza, Mamlaka zote za Serikali za Mitaa
nchini Tanzania zitatumia mfumo mmoja wa uhasibu ujilikanao kama Mfumo wa Usimamizi wa Fedha za
Umma, tolea la 10.2 (Epicor10.2), utakaosaidia kuhakikisha kuna mfanano katika uhasibu, utoaji taarifa
na usimamizi wa fedha.
Uzinduzi wa mfumo huu mpya utafuatiwa na mafunzo ya kina ya wiki tatu kwa watumishi 950 na wale wa
kada za uhasibu kutoka katika Mamlaka zote za Serikali za Mitaa 185 za Tanzania bara kuanzia Juni 4,
2018. Mafunzo haya yataendeshwa na Ofisi ya Rais – Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
(TAMISEMI) pamoja na Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3). Mafunzo
yatafanyika katika mikoa ya Dodoma, Iringa, Mtwara, Mbeya, Kagera na Mwanza.
Moja kati ya maboresha makubwa katika mfumo mpya wa usimamizi wa fedha za umma ni kushushwa
kwa mfumo hadi kwenye ngazi ya mtoa huduma. Kwa sasa matumizi yote yanayofanywa na Mamlaka
za Serikali za Mitaa kwa vituo vyake vya afya na shule yatahifadhiwa na kuwekwa wazi kwa vituo vya
kutolea huduma pamoja na jamii wanayoitumikia.
Maboresho mengine katika mfumo wa usimamizi wa fedha za umma katika tolea la 10.2 (Epicor 10.2) ni
kwamba mifumo yote ya msingi ya usimamizi wa fedha katika sekta za umma kwa sasa itaweza
kuwasiliana na kushirikishana taarifa. Hapo awali, uongozi na maafisa katika Mamlaka za Serikali za
Mitaa walilazimika kupitia mipango na bajeti katika mfumo mmoja, mapato katika mfumo mwingine na
matumizi kwenye mfumo mwingine, hivyo kuleta ugumu katika kudhihirisha uwajibikaji, ufanisi na
thamani ya fedha katika matumizi ya fedha za Serikali.
Mfumo wa Epicor 10.2 utaunganishwa na mfumo unaowezesha mabenki kulipana Tanzania (TISS)
ambao utaruhusu malipo yote kufanyika kwa njia ya kielektroniki. Mfumo pia unahusisha Muundo mpya
wa uhasibu (New Chart of Account) pamoja na Kasma Mpya ya 2014 (GFS) kama ilivyoelekezwa na
Wizara ya Fedha na Mipango. Matoleo yaliyopita ya mfumo wa usimamizi wa fedha za umma
yalijumisha hitilafu za kiufundi ambazo zilididimiza mbinu bora za uhasibu na taratibu za usimamizi wa
fedha, na kusababisha kuwepo kwa hati chafu kutoka kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za
Serikali.
Kwa ufupi, mfumo wa usimamizi wa fedha za umma wa Mamlaka za Serikali za Mitaa ambao unashuka
hadi katika ngazi ya kutolea huduma, mfumo unaoweza kuongea na mifumo mingine ili kuboresha
usimamizi na kupunguza lawama, utafanikisha kuwepo kwa usimamizi bora wa kifedha na uboreshaji wa
utoaji huduma kwa wananchi wa Tanzania.
Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3), ni Mradi wa miaka mitano unaotekelezwa
katika mikoa 13 na Halmashauri 93 za Tanzania bara. PS3 inafanya kazi katika sekta mbalimbali ili
kuimarisha mifumo ya mawasiliano, utawala bora, fedha na rasilimali watu, hususani kwa jamii zenye
uhitaji.

Thursday, April 12, 2018

PS3 YAENDELEA KUWANOA WANAHABARI NA WANATEHAMA WA SERIKALI

Mshauri wa utawala bora na ushirikishwaji wa wananchi wa mradi wa Uimarishji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Nazar Joseph, akitoa somo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.



Afisa utawala wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Fina Maziku, akiteta jambo na mmoja wa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.

Afisa TEHAMA wa mradi wa Uimarishji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Phars Nyanda, akitoa somo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.

Afisa habari wa halmashauri ya wilaya ya Masasi, Joina Nzali, akiendelea kujifunza katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.

Maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali za halmashauri na mikoa wakiwa darasani katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara, katika mafunzo ya kujengewa uwezo juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka katika mradi wa Uimarishji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.

Mshauri wa utawala bora na ushirikishwaji wa wananchi wa mradi wa Uimarishji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Nazar Joseph, akitoa somo katika mafunzo ya kuwajengea uwezo maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.

Baadhi ya maafisa habari na maafisa TEHAMA wa serikali za halmashauri na mikoa wakiwa darasani katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara, katika mafunzo ya kujengewa uwezo juu ya taaluma zao katika kuendesha tovuti za serikali. Mafunzo hayo yanayoendeshwa na wawezeshaji kutoka katika mradi wa Uimarishji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, yamehusisha mikoa Minne ya Tanzania Bara ambayo ni Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salam.

WAHAMIAJI HARAMU 23 WAKAMATWA KATIKA NYUMBA ZA WAGENI MTWARA



Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara, Lukas Mkondya, akiongea na waandishi wa habari juu ya matukio matatu yaliyojitokeza mkoani humo, ambayo ni Kukamatwa kwa Wahamiaji haramu 23, Kukamatwa kwa watuhumiwa 13 wa wizi wa Pikipiki pamoja na kushikiliwa kwa watuhumiwa Tisa wanafunzi wa chuo cha Sella Maries tawi la Mtwara kwa makosa ya kuhamasisha maandamano mitandaoni pamoja na lugha za kumkshifu Rais.



MTWARA

Wahamiaji haramu 23 ambao ni raia wa nchi za Jamhuri ya Kidemokrasi ya Kongo, Burundi na Rwanda wamekamatwa mkoani Mtwara wakiwa wamehifadhiwa katika nyumba za kulala wageni.

Kamanda wa Polisi mkoa wa Mtwara Lukas Mkondya, alisema baada ya kuahoji watuhumiwa hao, wote wamekiri kusafirishwa na mfanyabiashara raia wa jijini Dar es Salaam ambaye bado hajakamatwa aliyedhamiria kuwapeleka nchini Ufaransa.

“Baada ya kupata taarifa hizo askari walikwenda kufanya upekuzi katika nyumba za wageni, na kufanikiwa kuwakamata hao wahamiaji 23 ambao wameingia nchini kwetu kinyume cha sheria..katika mahojiano hayo, wahamiaji hao wametoka katika nchi zifuatazo..kuna wahamiaji wametoka nchi ya Kongo au Zaire, kuna wengine wametoka nchi ya Rwanda na wengine ni raia wa Burundi.” Alisema Mkondya.

Katika tukio lingine, jeshi hilo limewakamata watu 13 kutoka katika kijiji cha Chikongo wilayani Tandahimba kwa tuhuma za kuhusika na wizi sugu wa pikipiki katika maeneo mbalimbali ya nchi.
Miongoni mwa Pikipiki zilizokamatwa na jeshi la Polisi mkoa wa Mtwara katika kijiji cha Chikongo wilayani Tandahimba, baada ya kufanyika msako wa kuwabaini watu wanaotuhumiwa kuhusika na wizi wa pikipiki hizo.

Aidha, jeshi hilo linawashikilia wanafunzi Tisa wa chuo kikuu kishiriki cha Stella Maries mkoani Mtwara ambao wanatuhumiwa kuhamasisha maandamano pamoja na kuchapisha lugha za kumkashifu Rais.






Wednesday, April 11, 2018

MAAFISA HABARI WA MIKOA NA HALMASHAURI WATAKIWA KUBADILIKA KIUANDISHI


Afisa habari wa Ofisi ya Rais TAMISEMI, Atley Kuni, akitoa somo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, wanaoshiriki mafunzo ya kuwajengea uwzo juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.


Afisa habari wa halmashauri ya wilaya ya Masasi mkoani Mtwara, Joina Nzari, akifuatlia somo kutoka kwa mwezeshaji (hayupo pichani) wa mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.

Afisa habari wa halmashauri ya wilaya ya Lindi Majid Mbale (kulia) akiwa na afisa TEHAMA wa halmashauri ya wilaya ya Ruangwa, Jitetee Mbonde, wakifuatlia somo kutoka kwa mwezeshaji (hayupo pichani) wa mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.


Baadhi ya washiriki wakifuatlia somo kutoka kwa mwezeshaji (hayupo pichani) wa mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.


Afisa habari wa mkoa wa Mtwara, Evaristy Masuha akifuatlia akiwa katika mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.

Afisa utawala wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Fina Maziku, akiendelea na shughuli zake za kiutawala katika mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.

Afisa habari wa Wakala ya Serikali Mtandao EGA, Rainer Budodi, akitoa somo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, wanaoshiriki mafunzo ya kuwajengea uwzo juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.


Afisa habari wa Wakala ya Serikali Mtandao EGA, Rainer Budodi, akitoa somo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa (hawapo pichani) ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, wanaoshiriki mafunzo ya kuwajengea uwzo juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.



Afisa habari wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Jackline Sombe, akitoa somo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, wanaoshiriki mafunzo ya kuwajengea uwzo juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.

Afisa habari wa manispaa ya Temeke, Edda Mmari na afisa habari wa manispaa ya Ubungo, Bornwel Kapinga wakifanya mahojiano ikiwa ni sehemu ya somo katika mafunzo ya kuwajengea uwzo maafisa habari wa halmashauri na mikoa juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.

Afisa habari wa manispaa ya Temeke, Edda Mmari na afisa habari wa manispaa ya Ubungo, Bornwel Kapinga wakifanya mahojiano ikiwa ni sehemu ya somo katika mafunzo ya kuwajengea uwzo maafisa habari wa halmashauri na mikoa juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.


Afisa habari wa Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Jackline Sombe, akitoa pongezi kwa washiriki wa mafunzo ya kuwajengea uwzo maafisa habari na mafia TEHAMA wa hamashauri na mikoa juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara, na kushirikisha washiriki wa mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam.

Afisa habari wa halmashauri ya wilaya ya Newala, Yusuph Stanford akielekeza jambo katika mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.

Afisa habari wa halmashauri ya wilaya  ya Ruangwa, Mwanaheri Ahmed, akifafanua jambo katika mafunzo ya kuwajengea uwzo maafisa habari wa halmashauri na mikoa juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.



Afisa habari wa manispaa ya Temeke, Edda Mmari akifuatilia mafunzo ya kuwajengea uwzo maafisa habari wa halmashauri na mikoa juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.


Afisa habari  wa manispaa ya Kinondoni, Martha Kawishe, akifuatlia  mafunzo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari.


MTWARA

Maafisa habari wa serikali za mikoa na halmashauri nchini wametakiwa kubadilika katika uandishi kwa kuacha kuandika habari za viongozi pekee na baadala yake wajikite katika kuandika habari zinazowagusa wananchi.

Akizungumza jana mkoani  Mtwara katika mafunzo ya kuwajengea uweo maafisa habari na maafisa TEHAMA wa mikoa Minne nchini, afisa habari wa Ofisi ya Rais TAMISEMI, Atley Kuni, alisema kitendo cha kuandika habari za viongozi peke katika tovuti zao kinawafanya wananchi wajione kama wametengwa na kutoona umuhimu wa kutembelea tovuti hizo.
Afisa habari wa halmashauri ya wilaya  ya Ruangwa, Mwanaheri Ahmed, akifuatilia mafunzo ya kuwajengea uwzo maafisa habari wa halmashauri na mikoa juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.

“Kubwa tunalosisitiza kwasababu hii ipo sehemu ya kipengele kimoja katika masuala ya utawala bora, kwa maana ya kuwashirikisha wananchi..wananchi wanashirikishwaje ni kuhakikisha habari ambazo zinaandikwa sasa zina sawidi ya kile ambacho wanakifanya kwenye maeneo yao..” alisema Atley.

Faith Shimba ni Mshauri wa mifumo ya TEHAMA katika Mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, ambaye alieleza lengo la kuendesha mafnzo hayo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA kuwa ni baada ya tathmini iliyofanywa na TAMISEMI pamoja na PS3 na kubaini mapungufu yakiutendaji kwa maafisa hao.
Mshauri wa mifumo ya TEHAMA katika mradi wa Uimarishaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, Faith Shimba, akitoa somo kwa maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa (hawapo pichani) ya Mtwara, Lindi, Ruvuma na Dar es Salaam, wanaoshiriki mafunzo ya kuwajengea uwzo juu ya matumizi ya Tovuti za serikali wanazoziendesha na weledi katika taaluma ya habari. Mafunzo hayo ya siku Nne yanaendelea katika ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania BoT tawi la Mtwara.

Baadhi ya washiriki wa mafunzo hayo akiwamo afisa habari wa mkoa wa Mtwara Evaristy Masuha na afisa habari wa manispaa ya Kinondoni, Martha Kawishe, walieleza kuwa mafunzo hayo ytawasaidia kuwajenga kitaaluma sambamba na kuahidi kubadilika katika uandishi wa Tovuti zao.

Mafunzo hayo ya siku Nne yanayoendeshwa na Mradi wa Uimarshaji wa Mifumo ya Sekta za Umma PS3, yamejumuisha maafisa habari na maafisa TEHAMA wa halmashauri na mikoa Minne ya Mtwara, Lindi, Dar es Salaam na Ruvuma.