Monday, January 26, 2015

FDL KUSIMAMA KUPISHA VIPORO VYA POLISI MARA-MASAHIHISHO


http://www.ippmedia.com/media/picture/large/tff-wambura-feb9-2013(1)(3).jpg

Rejea taarifa tuliyotuma muda mchache uliopita. Mechi za raundi ya 20 za Ligi Daraja la Kwanza (FDL) zitaendelea kama kawaida kwa sababu baadhi ya timu zinazocheza ugenini tayari zipo safarini.

Hivyo mechi ambazo zimesimamishwa kusubiri Polisi Mara icheze mechi zake za viporo ni za raundi ya 21 na 22.

Kumradhi kwa usumbufu uliojitokeza kwa mawasiliano yaliyofanywa awali.

IMETOLEWA NA SHIRIKISHO LA MPIRA WA MIGUU TANZANIA (TFF)

No comments: