Hali ilivyo nje ya uwanja wa Nangwanda Sijaona, Mtwara ikiwa ni bado saa chache kabla ya kuanza kwa mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania Bara, kati ya Ndanda Sc na Simba Sc. |
jezi zikisubiri wanunuzi |
Baadhi ya wakazi wa mjini Mtwara wakiwa katika harakati nje ya uwanja wa Nangwanda Sijaona-mechi itaanza saa 10:00 jioni |
Nje ya uwanja wa Nangwanda |
Add caption |
Mwandishi wa News Room, Juma Mohamed, akiwa na mdhamini wa Simba, mzee Hassan Dalali. |
No comments:
Post a Comment