Tuesday, November 8, 2016

Wiki ya Nenda kwa Usalama Arusha yazinduliwa chini ya Vodacom

M

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Gabriel Daqarro(kushoto) akimkabidhi Mkuu wa Vodacom Tanzania kanda ya kaskazini,Henry Tzamburakis cheti cha kutambua mchango mkubwa wa udhamini unaotolewa na kampuni hiyo  katika kuadhimisha wiki ya  Usalama barabarani jijini Arusha.


Mkuu wa Wilaya ya Arusha Gabriel Daqarro(kushoto) akipatiwa maelezo kuhusiana na chama cha msalaba mwekundu unavyofanya kazi wakati wa kuadhimisha wiki ya Usalama barabarani jijini Arusha na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania katika viwanja vya shekhe Abed Karume.


Baadhi ya Askari wa Usalama Barabarani wakitazama bidhaa za Vodacom katika  banda la Vodacom Tanzania kwenye wiki ya Usalama barabarabani inayoadhimishwa jijini Arusha


No comments: