Sunday, October 30, 2016

Wakazi wa Morogoro wanufaika na Gulio la Smart Phone la Vodacom Tanzania


Wakala wa Vodacom Tanzania,Abdalla Magala akimfafanulia jambo Alen  Anatory Mkazi wa Morogoro, kuhusiana na simu aliyonunua katika gulio la Smart phone liliondandaliwa na kampuni hiyo na kufanyika katika viwanja vya sabasaba,Mkoani humo mwishoni mwa wiki.

Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania,wakimsikiza kwa makini Bw. Robert Mwaisambo Mkazi wa Morogoro, alipofika kununua simu katika gulio la Smart phone liliondandaliwa na kampuni hiyo katika viwanja vya sabasaba,Mkoani humo mwishoni mwa wiki.

No comments: