Friday, December 18, 2015

Pichaz-Kikao cha Uchaguzi wa Wanafunzi watakaojiunga na Kidato cha kwanza mwaka 2016-Mtwara..Mtwara V yaongoza Kimkoa, 16 Kitaifa.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda, akifungua Kikao cha Uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2016, mbele ya wajumbe ambao ni maafisa elimu wa halmashauri zote za mkoa wa Mtwara, baadhi ya wakuu wa shule, wakurugenzi wa halmashauri na wadau wengine, katika ukumbi wa Montesori-Mtwara


Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda, akifungua Kikao cha Uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2016, katika ukumbi wa Montesori-Mtwara


Katibu Tawala-Alferd Luanda




Katibu Tawala wa Mkoa wa Mtwara, Alfred Luanda, akifungua Kikao cha Uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza kwa mwaka 2016, mbele ya wajumbe ambao ni maafisa elimu wa halmashauri zote za mkoa wa Mtwara, baadhi ya wakuu wa shule, wakurugenzi wa halmashauri na wadau wengine, katika ukumbi wa Montesori-Mtwara


Add caption


Wajumbe wa kikao cha uchaguzi wa wanafunzi watakaojiunga na kidato cha kwanza mwaka 2016, ambao ni maafisa elimu wa halmashauri zote za mkoa wa Mtwara, baadhi ya wakuu wa shule, wakurugenzi wa halmashauri na wadau wengine, katika ukumbi wa Montesori-Mtwara

 Halmashauri ya Mtwara imeongoza katika kufaulisha wanafunzi wa darasa la saba ambao wanatarajiwa kujiunga na kidato cha kwanza mwaka 2016, baada ya kuwa yakwanza Kimkoa na nafasi ya 16 kitaifa.
Halmashauri hiyo imepanda kwa asilimia 15.8 kutoka katika ufaulu wa mwaka jana ambapo ulikua ni sawa na asilimia 71 huku mwaka huu ikipaa mpaka asilimia 86.8.

Masasi wameshindwa kupiga hatua na kujikuta kuwa katika nafasi ileile ambapo mwaka 2014 walipata asilimia 53 huku mwaka 2015 wakipata asilimia 53.2.
Nanyumbu wao, mwaka 2014 walipata asilimia 58 ambapo mwaka huu wameambulia asilimia 55.1 na kujikuta wakiporomoka kwa asilimia 3.1.

No comments: