Thursday, June 4, 2015

KUELEKEA FAINALI YA CHAMPIONS LEAGUE- CHIELLINI KUMKOSA SUAREZ




 Na Juma Mohamed.

Wapinzani wa Barcelona katika fainali ya ligi ya mabingwa barani ulaya (UEFA), klabu ya Juventus ya Turin, nchini Italia, imepata pigo ikiwa ni sku mbili kabla ya kipute hicho, baada ya mlinzi wao wa kutumainiwa Giorgio Chiellin kuumia misuli ya mguu wake wa kushoto akiwa mazoezini hapo jana.

Giorgio Chiellini

 
Giorgio Chiellini
Taarifa ya klabu hiyo imethibitisha kukosekana kwa mlinzi huyo mwenye umri wa miaka 30 ambaye kama angefanikiwa kucheza mchezo huo, angekutana kwa mara ya kwanza na Luis Suarez, raia wa Argentina ambaye alimng’ata Chiellin katika fainali za kombe la Dunia nchini Brazil, mwezi June mwaka jana.
 
SOURCE: UEFA

No comments: