Tuesday, June 4, 2013

NEYMAR DA SILVA SANTOS JUNIOR ATUA RASMI NOU CAMP KUFANYIWA VIPIMO VYA AFYA NA KUTAMBULISHWA KWA MASHABIKI

BAADA ya kukamilisha uhamisho wake kutua Barcelona, Neymar ambaye anaungana na Lionel Messi kuunda safu mpya kali ya ushambuliaji, ameweka wazi malengo yake.
Mbrazil huyo alisafiri moja kwa moja kwenda Hispania baada ya Brazil kutoa sare ya 2-2 nyumbani na England mjini Rio de Janeiro Jumapili, na katika mahojiano aliyofanyiwa kwenye Uwanja wa Nou Camp alisema: "Nipo kumsaidia na kumsaidia Messi kuendelea kuwa mchezaji bora duniani,".
Neymar alipokewa kifalme katika Uwanja wa Ndege wa Barcelona - kabla ya kupelekwa kwenye ofisi za klabu hiyo kwa ajili ya kupigwa picha akiwa na jezi ya Blaugrana kisha kwenda kufanyiwa vipimo vya afya.
Arrival: Neymar was unveiled as a Barcelona player at the Nou Camp on Monday
Neymar alitambulishwa kuwa mchezaji mpya wa Barcelona Nou Camp jana
Welcome: The Brazilian has signed a five-year deal with the Catalan club
Mbrazil huyo amesaini Mkataba wa miaka mitano Catalan
Juggling: Neymar showed off his skills to the Nou Camp crowd
Neymar akionyesha uwezo wake wa kuchezea mpira mbele ya umati wa Nou Camp
FC Barcelona's new signing Neymar
Dynamic duo: Neymar will join Lionel Messi in a formidable partnership for Barcelona
Neymar anaungana na 'mchawi' huyu Lionel Messi kuunda safu kali ya ushambuliaji Barcelona
Meet and greet: Barcelona's president Sandro Rosell welcomes Neymar to the Nou Camp
Rais wa Barcelona, Sandro Rosell akimkaribisha Neymar Nou Camp
Crowd: Neymar waves to the fans gathered at the Nou Camp as he walks onto the pitch for the first time
Neymar akipungia mkono mashabiki Nou Camp 
Fans: Neymar highfives young supporters on the Nou Camp pitch
Neymar akisalimiana na mashabiki watoto wa Barca Uwabnja wa Nou Camp
Put through his paces: Neymar passed his medical before being unveiled on the pitch
Neymar akifanyiwa vipimo vya afya
Put through his paces: Neymar passed his medical before being unveiled on the pitch

No comments: