Makamu Mwenyekiti wa Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya
Mawasiliano(TRCA)Walter Bugoya akitoa tamko la kuzifungia Redio Imani
na Redio Kwa Neema kwa kipindi cha miezi 6 kutokana kutangaza matangazo
yanayodaiwa kuwa ya kichochezi jijini Dar es Salaam jana.Kushoto ni
Mkurungenzi wa Idara ya Habrio Maelezo Arthur Mwambene na Kaimu
Mkurugenzi wav Utangazaji wa (TRCA)Andrew Kisaka.Picha na Fidellis
Felix
Vilevile kamati hiyo imetoa adhabu ya faini ya Sh5
milioni kwa Kituo cha redio cha Clouds FM baada ya kubainika pia kukiuka
taratibu za utangazaji kwa kurusha hewani kipind
No comments:
Post a Comment