Mizengo Pinda aponda wanaoibeza tume yake kuchunguza matokeo..#BODA BODA..
Jumatano
Februari 27,
2013
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda
“Wengine wanasema tume zipo nyingi, si kweli kwamba
zipo nyingi na hazifanyi kazi, kila mtu ana mawazo yake, jambo hili ni
kubwa na lazima lishughulikiwe kwa ukubwa wake,”alisema Pinda
No comments:
Post a Comment