Tuesday, December 11, 2012

AZAM FC YATANGAZA KUMSAJILI UMONY


Klabu ya Azam imetangaza kupitia ukurasa wao wa Facebook kwamba mmoja  ya wachezaji waliong'ara katika michuano ya CECAFA Challenge Cup Brian Umony ametua kwenye klabu yao leo jioni.

Umony ambaye tayari alishaanza mazungumzo na Simba akiwa na timu yake ya taifa ya Uganda iliyochukuwa ubingwa wa Challenge mapema mwezi huu, lakini akashindwana nao katika suala la mahitaji yake binafsi.

Hii ndio taarifa Azam FC walioitoa muda mfupi uliopita




 

 SOURCE: SHAFFIH DAUDA

No comments: