Umony ambaye tayari alishaanza mazungumzo na Simba akiwa na timu yake ya taifa ya Uganda iliyochukuwa ubingwa wa Challenge mapema mwezi huu, lakini akashindwana nao katika suala la mahitaji yake binafsi.
Hii ndio taarifa Azam FC walioitoa muda mfupi uliopita
SOURCE: SHAFFIH DAUDA
No comments:
Post a Comment