Sunday, February 24, 2013

Matokeo ya kidato cha Nne: Wakuu wa shule wadai ilitungwa kwa mfumo tofauti

Share bookmark Print Email Rating
Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dk Shukuru Kawambwa akizungumza na vyombo vya habari jijini Dar es Salaam 
Na Fredy Azzah na Kelvin Matandiko  (email the author)

Posted  Jumapili,Februari24  2013  saa 23:24 PM
Kwa ufupi
MATOKEO mabaya ya mtihani wa kidato cha nne yamezidi kuibua mapya, baada ya wamiliki wa shule na vyuo binafsi nchini kusema mitihani ilitungwa kwa mfumo tofauti na uliozoeleka miaka yote, huku tume iliyounndwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda ikipondwa na baadhi ya watu.

No comments: