Thursday, February 4, 2016

PICHAZ..Waandishi wa habari wa Mtwara wakinolewa na TPDC juu ya uelewa wa masuala ya Mafuta na Gesi asilia.

Baadhi ya waandishi wa habari wa mkoa wa Mtwara waliohudhuria semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo juu ya uelewa wa masuala ya sekta ndogo ya rasilimali za gesi na mafuta iliyoandaliwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania-TPDC.


Waandishi wa habari wakifuatilia somo kutoka kwa Meneja wa Utafiti wa TPDC-Venosa Ngowi.




Meneja wa biashara ya gesi asilia kutoka TPDC-Emmanuel Gilbert, akifafanua jambo katika semina ya kuwajengea uwezo waandishi wa habari wa mkoa wa Mtwara juu ya uelewa wa masuala ya Mafuta na Gesi asilia.



Emmanuel Gilbert




Waandishi wa habari wakifuatilia kwa makini somo katika semina ya siku moja ya kuwajengea uwezo iliyoandaliwa na Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania-TPDC.





No comments: